Chama tawala cha UDA kimetetea jinsi serikali inavyoshughulikia kashfa inayodaiwa kuhusiana na ununuzi wa mafuta, kikishutumu wapinzani wa kisiasa kwa kutumia suala hilo
Viongozi wakuu wa Muungano wa Upinzani wamemshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kwa kupuuza mkutano muhimu wa kiusalama