×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Robert Menza

Bilionea wa uturuki azuiliwa kwa madai ya kufadhili ugaidi

By Robert Menza   2026-01-15 12:14:09

Mahakama imeamuru bilionea wa Uturuki Elsek Osman na mwenzake Gokmen Sandikci kuzuiliwa kwa siku kumi na nne huku uchunguzi ukiendelea kuhusu madai ya kufadhili ugaidi.

Kenya imetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na tishio la usugu wa dawa

By Robert Menza   2026-01-22 12:40:23

KEMRI yaonya kuwa usugu wa dawa (antimicrobial resistance) ni tishio kubwa kwa utekelezaji wa mpango wa afya kwa wote, usalama wa afya ya taifa, maandalizi ya majanga ya kiafya.

Ndindi Nyoro asuta serikali kuhusu elimu ya sekondari ya bila malipo

By Robert Menza   2026-01-23 16:29:39

Akizungumza jijini Mombasa, Nyoro amesema elimu ni nguzo kuu ya mustakabali wa taifa na lazima iwe ya bure, inayopatikana kwa urahisi na yenye kulindwa dhidi ya ushawishi wa kisiasa.

Wasanii wa Little Theatre Mombasa wahakikishiwa kutofurushwa na serikali

By Robert Menza   2026-01-28 15:52:32

Kwa mujibu wa Daghar, serikali inatambua mchango mkubwa wa wasanii katika kukuza utamaduni, kutoa ajira kwa vijana na kuimarisha sekta ya ubunifu.

Mageuzi ya elimu ya chekechea yaanza kuzaa matunda Mombasa

By Robert Menza   2026-01-29 17:12:14

Kupitia mpango wa lishe shuleni unaotekelezwa bila malipo, zaidi ya watoto 12,000 wanaosoma katika vituo vya ECDE wananufaika na chakula cha kila siku.

Wakenya watahadharishwa kuhusu jua na ukame

By Robert Menza   2026-02-02 17:30:04

Idara hiyo imesema kuwa sehemu kubwa ya nchi itashuhudia joto kali hadi mvua zitakapoanza mwezi Machi.

WHO: Visa vinne kati ya kumi vya saratani vinaweza kuzuilika

By Robert Menza   2026-02-10 17:00:06

Uchambuzi mpya wa shirika hilo unaonesha kuwa takriban asilimia 37 ya visa vipya vya saratani vilivyoripotiwa mwaka 2022, sawa na visa milioni 7.1, vilihusishwa na sababu zinazoweza kuzuilika.

Vifo vya akina mama vyapungua kwa asilimia 34 Kisii

By Robert Menza   2026-02-12 14:50:24

Vifo vya akina mama wajawazito vimepungua kwa kiasi kikubwa katika Kaunti ya Kisii, kufuatia utekelezaji wa mpango wa kuimarisha mfumo wa afya

Serikali yatenga bilioni mbili kwa ujenzi wa barabara ya MombasaKilifi

By Robert Menza   2026-02-13 10:10:40

Serikali ya Kitaifa imetenga shilingi bilioni mbili kwa fidia ya ardhi na shilingi milioni 838 kwa ajili ya kuhamisha wafanyabiashara, katika juhudi za kuharakisha ujenzi

Mtandao wa mawasiliano wa Paul Mackenzie wafichuliwa mahakamani

By Robert Menza   2026-02-27 13:31:03

Mahakama imeelezwa kuwa uchambuzi wa data za simu umebaini kile wachunguzi wanachokitaja kama mtandao wa mawasiliano uliopangwa kati ya Paul Mackenzie na kundi lake la usalama

EU yatoa Euro milioni 63 kwa msaada wa dharura kwa walioathiriwa na njaa Somalia

By Robert Menza   2026-02-27 13:39:31

Umoja wa Ulaya umetangaza euro milioni 63, sawa na takriban shilingi bilioni 9.7, kwa ajili ya msaada wa kibinadamu kusaidia jamii zilizo katika mazingira magumu Somalia.

Somalia yaongeza mashambulizi dhidi ya Al-Shabaab

By Robert Menza   2026-03-03 15:40:34

Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNAF) limeanzisha operesheni mpya katika eneo la Lower Shabelle, kusini mwa Somalia, ikilenga wanamgambo wa Al-Shabaab.

Ndindi Nyoro akosoa mpango wa uuzaji wa hiza kwa umma wa KPC

By Robert Menza   2026-03-05 18:11:44

Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amekosoa mpango wa uuzaji wa hisa kwa umma (IPO) wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC), akidai kuwa haukuendeshwa kwa misingi ya soko

Bandari ya Lamu yapokea meli ya pili ya magari iliyogeuzwa njia kutokana na mzozo wa Iran

By Robert Menza   2026-03-18 21:15:21

Meli ya Grande Florida Palermo, inayomilikiwa na kampuni ya Grimaldi Lines, imekuwa meli ya pili kubeba magari kugeuzwa kuelekea Bandari ya Lamu

UDA yatetea serikali kuhusu kashfa ya mafuta, yawashutumu wapinzani kwa siasa

By Robert Menza   2026-04-07 09:31:33

Chama tawala cha UDA kimetetea jinsi serikali inavyoshughulikia kashfa inayodaiwa kuhusiana na ununuzi wa mafuta, kikishutumu wapinzani wa kisiasa kwa kutumia suala hilo

Mabaharia tisa wa kenya wakwama Kilwa baada ya meli kukamatwa Tanzania

By Robert Menza   2026-04-14 14:32:50

Mabaharia tisa raia wa Kenya wamekwama katika eneo la Kilwa, kusini mwa Tanzania, baada ya chombo chao cha uvuvi kukamatwa na mamlaka za Tanzania

Wakuu na wakufunzi wapigwa onyo kali dhidi ya unyanyasaji wa wanafunzi

By Robert Menza   2026-04-29 17:01:47

Maafisa wakuu na wakufunzi katika taasisi za Mafunzo ya Ufundi na Ufundi Stadi (TVET) wameonywa vikali kufuatia kuibuka kwa madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanafunzi.