Wakaazi hao wanasema bwawa hilo limekua lenye usaidizi mkubwa kwa jamii ya Tala kwa muda wa zaidi ya miaka 90 tangu lichimbwe.
Serikali imetangaza kaunti 14 kuwa miongoni mwa zilizoathirika zaidi na kiangazi kufuatia mvua chache iliyonyesha msimu uliopita.
Mswada kuhusu mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu humu nchini ambao umeidhinishwa na baraza la mawaziri huku ukisubiri hatma ya wabunge umeibua hisia mseto
Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15
Wakazi wa kijiji cha Mbukoni wataanza kunufaika na mafunzo ya bure kuhusu huduma za mtandao baada ya uzinduzi wa ujenzi wa maktaba ya kisasa kutoa mafunzo ya kidijitali.
Kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaokiuka msimamo wa chama, akisema wanajikatia tiketi ya kwenda nyumbani.
Waziri wa mazingira Deborah Barasa ameagiza kufungwa mara moja kwa kampuni ya Shreeji Chemicals Limited kwa kukiuka sheria za mamlaka ya usimamizi wa mazingira NEMA