×
App Icon
The Standard e-Paper
Truth Without Fear
★★★★ - on Play Store
Download Now

Topic: Katika

Kalonzo apoteza wabunge 10 katika ngome yake ya Ukambani

By Patel Mulevu   2026-04-14 14:45:12

Kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka ametoa onyo kali kwa wanasiasa wanaokiuka msimamo wa chama, akisema wanajikatia tiketi ya kwenda nyumbani.

Polisi katika eneo la Athi River wamewakamata washukiwa wawili wa genge la wezi

By Patel Mulevu   2026-02-13 12:49:50

Maafisa wa polisi katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, wamefanikiwa kukamata washukiwa wawili wanaoaminika kuwa wanachama wa genge lenye vijana 15

Mabadiliko katika Elimu ya juu yaidhinishwa na Baraza la Mawaziri

By Patel Mulevu   2026-02-13 10:09:11

Mswada kuhusu mabadiliko katika sekta ya elimu ya juu humu nchini ambao umeidhinishwa na baraza la mawaziri huku ukisubiri hatma ya wabunge umeibua hisia mseto

Hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya Pwani ya Kenya

By Suleiman Kagwe   2026-01-28 16:28:54

Hata hivyo, hali ya ukame kuliko kawaida inatarajiwa katika maeneo ya pwani ya Kenya, hali inayohitaji tahadhari ya mapema kwa jamii na wadau wa sekta nyeti kama kilimo na maji.